Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 119:86-88

Zaburi 119:86-88 BHN

Amri zako zote ni za kuaminika; watu wananitesa bila haki; unisaidie! Karibu wangefaulu kuniangamiza, lakini mimi sijavunja kanuni zako. Unisalimishe kadiri ya fadhili zako, nipate kuzingatia maamuzi uliyotamka.

Soma Zaburi 119