Mithali 29:21-22
Mithali 29:21-22 NENO
Kama mtu akimdekeza mtumishi wake tangu ujanani, atamletea sikitiko mwishoni. Mtu mwenye hasira huchochea ugomvi, naye mtu mwenye hasira ya haraka hutenda dhambi nyingi.
Kama mtu akimdekeza mtumishi wake tangu ujanani, atamletea sikitiko mwishoni. Mtu mwenye hasira huchochea ugomvi, naye mtu mwenye hasira ya haraka hutenda dhambi nyingi.