Mithali 29:2-4
Mithali 29:2-4 NENO
Wenye haki wanapostawi, watu hufurahi; waovu watawalapo, watu hulia kwa huzuni. Mtu apendaye hekima huleta furaha kwa baba yake, bali aambatanaye na makahaba hutapanya mali yake. Kwa haki mfalme huipa nchi uthabiti, bali mfalme aliye na tamaa ya rushwa huiangamiza.