Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Hesabu 11:1-3

Hesabu 11:1-3 NENO

Basi watu wakalalamika kwa habari ya taabu zao masikioni mwa BWANA, naye alipowasikia, hasira yake ikawaka. Ndipo moto kutoka kwa BWANA ukawaka miongoni mwao na kuteketeza baadhi ya viunga vya kambi. Watu walipomlilia Musa, akamwomba BWANA, nao moto ukazimika. Hivyo mahali pale pakaitwa Tabera, kwa sababu moto kutoka kwa BWANA uliwaka miongoni mwao.