Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 6:2

Mathayo 6:2 NENO

“Hivyo mnapowapa wahitaji, msitangaze hadharani kama wafanyavyo wanafiki katika masinagogi na mitaani, ili wasifiwe na watu. Amin nawaambia wao wamekwisha kupokea thawabu yao.