Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 2:11

Mathayo 2:11 NENO

Walipoingia ndani ya ile nyumba, wakamwona mtoto pamoja na Mariamu mama yake, wakamsujudia na kumwabudu yule mtoto Yesu. Ndipo wakafungua hazina zao, wakamtolea zawadi za dhahabu, uvumba na manemane.