Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yohana 1:9-11

Yohana 1:9-11 NENO

Nuru halisi inayomwangazia kila mtu ilikuwa inakuja ulimwenguni. Huyo Neno alikuwako ulimwenguni, na ingawa ulimwengu uliumbwa kupitia kwake, haukumtambua. Alikuja kwa walio wake, lakini wao hawakumpokea.