Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yohana 1:9-11

Yohana 1:9-11 SRUV

Kulikuwako Nuru halisi, amtiaye nuru kila mtu, akija katika ulimwengu. Alikuwako ulimwenguni, hata kwa yeye ulimwengu ulipata kuwako, wala ulimwengu haukumtambua. Alikuja kwake, wala walio wake hawakumpokea.

Soma Yohana 1