Waroma 7:21-22
Waroma 7:21-22 SRB37
Hivyo mimi ninayetaka kukifanya kilicho kizuri, ninaona nguvu ngeni kwangu inayonishurutisha kukifanya kilicho kiovu. Kwani ninayaitikia Maonyo yake Mungu na kuyashangilia huku ndani moyoni.
Hivyo mimi ninayetaka kukifanya kilicho kizuri, ninaona nguvu ngeni kwangu inayonishurutisha kukifanya kilicho kiovu. Kwani ninayaitikia Maonyo yake Mungu na kuyashangilia huku ndani moyoni.