1
Mateo 8:26
Swahili Roehl Bible 1937
SRB37
Yesu akawaambia: Mbona mnaogopa hivyo? Mbona mnanitegemea kidogo tu? Kisha akainuka, akaukaripia upepo na bahari, kukawa kimya kabisa.
Linganisha
Chunguza Mateo 8:26
2
Mateo 8:8
Lakini yule mkubwa wa askari akamjibu akisema: Bwana, hainipasi, uingie kijumbani mwangu, ila sema neno tu! ndipo, mtoto wangu atakapopona!
Chunguza Mateo 8:8
3
Mateo 8:10
Yesu alipoyasikia akastaajabu, akawaambia waliomfuata: Kweli nawaambiani: Kwa Waisiraeli sijaona bado mtu mwenye kunitegemea kama huyu.
Chunguza Mateo 8:10
4
Mateo 8:13
Kisha Yesu akamwambia mkubwa wa askari: Nenda kwenu, na uyapate uliyoyategemea! Saa ileile mtoto wake akapona.*
Chunguza Mateo 8:13
5
Mateo 8:27
Lakini watu wakastaajabu wakisema: Ni mtu gani huyu, ya kuwa hata upepo na bahari zinamtii?*
Chunguza Mateo 8:27
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video