1
Mateo 21:22
Swahili Roehl Bible 1937
SRB37
Nayo yo yote, mtakayoyaomba katika maombo, mtayapata mkiwa mnamtegemea Mungu.
Linganisha
Chunguza Mateo 21:22
2
Mateo 21:21
Yesu akajibu akiwaambia: Kweli nawaambiani: Mkimtegemea Mungu pasipo mashaka hamtafanya kama hili tu la huu mkuyu, ila hata mkiuambia mlima huu: Ondoka hapa, ulipo, ujitupe baharini! basi itatendeka.
Chunguza Mateo 21:21
3
Mateo 21:9
nao wale watu wengi waliomtangulia, nao waliomfuata wakapaza sauti wakisema: Hosiana, mwana wa Dawidi! Na atukuzwe ajaye kwa Jina la Bwana! Hosiana juu mbinguni!*
Chunguza Mateo 21:9
4
Mateo 21:13
akawaambia: Imeandikwa: Nyumba yangu itaitwa nyumba ya kuombea, lakini ninyi mnaigeuza kuwa pango la wanyang'anyi.
Chunguza Mateo 21:13
5
Mateo 21:5
Mwambieni binti Sioni: Tazama, mfalme wako anakujia, ni mpoke, amepanda mwana punda aliye na mama yake, mwenye kuchukua mizigo.
Chunguza Mateo 21:5
6
Mateo 21:42
*Yesu akawaambia: Hamjasoma katika Maandiko ya kuwa: Jiwe, walilolikataa waashi, hilihili limekuwa la pembeni? Hivyo vimefanywa na Bwana; nasi tukivitazama, ni vya kustaajabu.
Chunguza Mateo 21:42
7
Mateo 21:43
Kwa sababu hiyo nawaambiani: Ufalme wa Mungu utaondolewa kwenu taifa jingine litakalozaa matunda yake liupate.
Chunguza Mateo 21:43
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video