1
1 Wakorintho 13:4-5
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
SWZZB1921
Upendo husubiri, hufadhili; upendo hauhusudu; upendo hautakabari; haujivuni, haukosi kuwa na adabu, hautafuti mambo yake, hauoni uchungu, hauhesabu mabaya
Linganisha
Chunguza 1 Wakorintho 13:4-5
2
1 Wakorintho 13:7
hustahimili yote, huamini yote, hutumaini yote, huvumilia yote.
Chunguza 1 Wakorintho 13:7
3
1 Wakorintho 13:6
haufurahii udhalimu, bali hufurahi pamoja na kweli
Chunguza 1 Wakorintho 13:6
4
1 Wakorintho 13:13
Bassi, sasa inabaki imani, tumaini, upendo, hizi tatu; na iliyo kuu katika hizi ni upendo.
Chunguza 1 Wakorintho 13:13
5
1 Wakorintho 13:8
Upendo haupungui neno wakati wo wote; bali ukiwapo unabii utabatilika; zikiwapo lugha, zitakoma; yakiwapo maarifa, yatabatilika.
Chunguza 1 Wakorintho 13:8
6
1 Wakorintho 13:1
NIJAPOSEMA kwa lugha za wana Adamu na za malaika, kama sina upendo, nimekuwa shaba iliayo na upato uvumao.
Chunguza 1 Wakorintho 13:1
7
1 Wakorintho 13:2
Tena nijapokuwa na unabii, na kujua siri zote na maarifa yote, nijapokuwa na imani timilifu kiasi cha kuweza kuhamisha milima, kama simi upendo, si kitu mimi.
Chunguza 1 Wakorintho 13:2
8
1 Wakorintho 13:3
Tena mkiwagawia maskini mali yangu yote, tena nikijitoa mwili wangu niungue moto, kama sina upendo, hainifaidii kitu.
Chunguza 1 Wakorintho 13:3
9
1 Wakorintho 13:11
Nilipokuwa mtoto mchanga, nalisema kama mtoto mchanga, nalifahamu kama mtoto mchanga, nalifikiri kama mtoto mchanga; tokea hapo nilipokuwa mtu mzima, nimeyabatilisha mambo ya kitoto.
Chunguza 1 Wakorintho 13:11
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video