YouVersion Logo
Search Icon

Kutorokea Misri

Kutorokea Misri

7 Days

Muda mfupi baada ya ziara ya Wayahudi, ambao walijua kwamba Mfalme Herode alitaka kuua watoto wa eneo hilo, malaika alimtokea Yosefu katika ndoto kumwambia aende Misri na Maria na mtoto wa kijana Yesu. Swali 1: Ni nini unafikiri kinafanya watu watende kwa Yesu kama vile Herodi alitenda na kujaribu kumangamiza Yesu?  Swali 2: Kama vile Mungu alivyomlinda Yusufu na jamaa yake, je, anatulinda kwa njia gani siku hizi?  Swali 3: Unaweza kuelezea kuhusu wakati Mungu alikuhifadhi katika hali ngumu?

Tungependa kushukuru GNPI Kenya kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://www.gnpi-africa.org

About The Publisher

YouVersion uses cookies to personalize your experience. By using our website, you accept our use of cookies as described in our Privacy Policy