Kutorokea Misri

7 Days
Muda mfupi baada ya ziara ya Wayahudi, ambao walijua kwamba Mfalme Herode alitaka kuua watoto wa eneo hilo, malaika alimtokea Yosefu katika ndoto kumwambia aende Misri na Maria na mtoto wa kijana Yesu. Swali 1: Ni nini unafikiri kinafanya watu watende kwa Yesu kama vile Herodi alitenda na kujaribu kumangamiza Yesu? Swali 2: Kama vile Mungu alivyomlinda Yusufu na jamaa yake, je, anatulinda kwa njia gani siku hizi? Swali 3: Unaweza kuelezea kuhusu wakati Mungu alikuhifadhi katika hali ngumu?
Tungependa kushukuru GNPI Kenya kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://www.gnpi-africa.org
Related Plans

Stop Living in Your Head: Capturing Those Dreams and Making Them a Reality

Stormproof

Unapologetically Sold Out: 7 Days of Prayers for Millennials to Live Whole-Heartedly Committed to Jesus Christ

Shepherd of Her Soul: A 7-Day Plan From Psalm 23

Faith in Hard Times

Psalms 1-30 Book Study - TheStory

Breath & Blueprint: Your Creative Awakening

Friendship

Multiply the Mission: Scaling Your Business for Kingdom Impact
