Kutorokea Misri

7 Days
Muda mfupi baada ya ziara ya Wayahudi, ambao walijua kwamba Mfalme Herode alitaka kuua watoto wa eneo hilo, malaika alimtokea Yosefu katika ndoto kumwambia aende Misri na Maria na mtoto wa kijana Yesu. Swali 1: Ni nini unafikiri kinafanya watu watende kwa Yesu kama vile Herodi alitenda na kujaribu kumangamiza Yesu? Swali 2: Kama vile Mungu alivyomlinda Yusufu na jamaa yake, je, anatulinda kwa njia gani siku hizi? Swali 3: Unaweza kuelezea kuhusu wakati Mungu alikuhifadhi katika hali ngumu?
Tungependa kushukuru GNPI Kenya kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://www.gnpi-africa.org
Related Plans

Peace in Chaos for Families: 3 Days to Resilient Faith

Heaven (Part 2)

The Parable of the Sower: 4-Day Video Bible Plan

Numbers | Reading Plan + Study Questions

40 Rockets Tips - Workplace Evangelism (31-37)

Rescue Breaths

Praying the Psalms

Connect

Consecration: Living a Life Set Apart
