Soma Biblia Kila Siku 04/2025Sample

Kufuata maagizo ya Bwana huleta baraka.Haruni akainua mikono yake na kuielekeza kwa hao watu, akawabariki; kisha akashuka akisha isongeza sadaka ya dhambi, na sadaka ya kuteketezwa, na sadaka za amani(9:22). Kufanya kinyume na maagizo hayo huleta kifo. Kuhusu ile sadaka iliyosababisha kifo cha wana wawili wa Haruni, tunajua tu kwamba Bwana hajaiagiza. Habari ya “motowa kigeni” inaeleza tu jinsi walivyomtolea uvumba, siyo kwamba shida ilikuwa kwenye moto. Ndugu uliyeitwa na Bwana kuitangaza Injili, usiyategemee mawazo yako. Hebu jiulize kama unatumika kwa kumtegemea Bwana na maagizo yake? Ukifanya kinyume, ujue kazi yako haitakuwa na baraka, bali kifo.
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku 04/2025 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi Aprili pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kutafakari somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi kitabu cha Walawi, Luka na 2 Petro. Karibu kujiunga na mpango huu
More
Related Plans

When You Feel Like Roommates: 4 Day Plan to Help You Love (And Like) Your Spouse for Life

The Holy Spirit: God Among Us

Simon Peter's Journey: 'Grace in Failure' (Part 1)

You Say You Believe, but Do You Obey?

Two-Year Chronological Bible Reading Plan (First Year-January)

The Bible in a Month

Sharing Your Faith in the Workplace

Everyday Prayers for Christmas

Gospel-Based Conversations to Have With Your Preteen
