Soma Biblia Kila Siku 02/2024Sample

Mungu anaweka mwongozo wa namna ya kutoa, kuandaa na kisha kutekeleza kafara. Upo wajibu kwa watoao, na pia upo wajibu wa kikuhani. Mungu anapenda utaratibu, ubora na utakatifu visitenganishwe. Kumwabudu Mungu kuheshimiwe. Kwa sababu ya utaratibu wake, Mungu anaita watumishi kwa mpango maalumu. Watumishi wake anawaweka wakfu na kuwabariki hadharani. Watumishi wa Mungu wa kweli kamwe hawajiiti na kujiweka wakfu wenyewe. Mungu anaita na kutambulisha wateule wake kwa jamii inayotumikiwa.
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku 02/ 2024 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa Februari pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kutafakari somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi kitabu cha Kutoka. Karibu kujiunga na mpango huu
More
Related Plans

Run With Endurance: Faith and Perseverance for Everyone

Keep Standing: When the Weight Feels Heavy

A Heart Prepared for Thanksgiving

Faith That Feels Real: Part 4 - Trusting God in the Hardest Times

Reset and Recenter: A Christian's Guide to Faith and Technology

Believing Without Seeing

30 Scripture Based Prayers for Your Marriage

Friendship With Jesus

Prayer
