Ndoa Ya Ufalme

5 Days
Ndoa huja na furaha nyingi na changamoto kubwa. Sababu mojawapo ya changamoto hizo ni kwa sababu tumesahau kusudi la kibiblia la ndoa. Tumemuondoa Mungu na kufafanua ndoa kwa msingi ya furaha. Lakini ndoa ipo ili kumtukuza Mungu kwa kupanua wigo Wake ulimwenguni kote. Katika mpango huu wa siku tano wa kusoma, Dkt. Tony Evans anakupeleka kwenye safari ya ndoa ya ufalme.
Tungependa kuwashukuru The Urban Alternative (Tony Evans) kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: https://tonyevans.org/
Related Plans

The Fear of the Lord

Retirement: Top 5 Challenges in the First Years

Disciple: Live the Life God Has You Called To

Experiencing Blessing in Transition

Finding Freedom: How God Leads From Rescue to Rest

Giant, It's Time for You to Come Down!

Genesis | Reading Plan + Study Questions

The Wonder of Grace | Devotional for Adults

No Pressure
