Soma Biblia Kila Siku 8Sample

Laana zinagusa maisha mazima ya kilimo, ufugaji, ndoa, uchumi, afya n.k. Tena Waisraeli wanatangaziwa kuwa Mungu atawafukuza kutoka katika nchi ya Kaanani na kuwapeleka kwa taifa lingine ambapo watakuwa ushangao, na mithali, na dharau kwa watu wengine(m.36-37). Ndivyo ilivyotokea miaka mingi baadaye Wayahudi walipochukuliwa mateka kwenda Ashuru na Babeli: Mfalme wa Babeli akamchukua mateka [Yekonia, mfalme wa Yuda] katika mwaka wa nane wa kutawala kwake. Akatoa huko hazina zote za nyumba ya Bwana, na hazina za nyumba ya mfalme ... Akawachukua mateka watu wa Yerusalemu wote pia, na wakuu wote, na mashujaa wote, watu elfu kumi; na mafundi wote, na wafua chuma wote; hapana mtu aliyebaki, ila waliokuwa wanyonge wa watu wa nchi(2 Fal 24:12-14). Ndugu, tusimchezee na kumdharau Mungu kwa kujidai kuwa tuko chini ya baraka tu wakati tunaitegemea miungu. Si kweli!
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku 8 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu kila siku hasa katika kitabu cha Matendo ya Mitume, Kumbukumbu la Torati, na Yohana pamoja na maelezo yatakayokusaidia kutafakari na kuelewa Neno la Mungu kwa urahisi.
More
Related Plans

Let Us Pray

Breath & Blueprint: Your Creative Awakening

Stormproof

Praying the Psalms

Faith in Hard Times

Returning Home: A Journey of Grace Through the Parable of the Prodigal Son

Homesick for Heaven

Unapologetically Sold Out: 7 Days of Prayers for Millennials to Live Whole-Heartedly Committed to Jesus Christ

God in 60 Seconds - Basic Bible Bites
