INJILI ULIMWENGUNI - SEHEMU YA TANOSample

MFANO WA WAJENZI WENYE AKILI NA WAPUMBAVU
24 “Kwa hiyo kila mtu ayasikiaye haya maneno yangu na kuyatenda, ni kama mtu mwenye busara aliyejenga nyumba yake kwenye mwamba.
25 Mvua ikanyesha, mafuriko yakaja na upepo ukavuma ukaipiga hiyo nyumba, lakini haikuanguka kwa sababu msingi wake ulikuwa kwenye mwamba.
26 Naye kila anayesikia haya maneno yangu wala asiyatende, ni kama mtu mjinga aliyejenga nyumba yake kwenye mchanga.
27 Mvua ikanyesha, mafuriko yakaja, nao upepo ukavuma ukaipiga hiyo nyumba, nayo ikaanguka kwa kishindo kikubwa.”
"28 Yesu alipomaliza kusema maneno haya, makutano ya watu wakashangazwa sana na mafundisho yake,kwa sababu alifundisha kama yeye aliye na mamlaka, wala si kama walimu wao wa sheria."
Scripture
About this Plan

Mfuatano huu ni kusanyiko la hadithi kuhusu maisha Kristo itakayoshirikisha watazamaji wote ulimwenguni kwa kutumia mchanganyiko wa kuona na sauti. Maisha na mafundisho ya Yesu yalidhihirishwa katika kitabu hiki cha hadithi ambacho kinafuata masimulizi ya Agano Jipya yanayopatikana katika vitabu vya Injili vya Mathayo, Marko, Luka, na Yohana
More
Related Plans

Hospitality and the Heart of the Gospel

Everyday Prayers for Christmas

BE a PILLAR

The Loneliness Trap and the Relationships You Crave

Ready for Action

Made in His Image

Studies on Prayer: Vol. 3

Legacy of Faith: 7 Conditions for Your Family’s Answered Prayers

Boots on the Ground: Relief Workers' Devotional Reading Plan
