Injili Ulimwenguni - Sehemu 3Exemple

Hadithi ya nguo mpya na viriba vipya
Wanafunzi wa Yohana Mbatizaji wakaja na kumwuliza Yesu,
“Imekuwaje kwamba sisi na Mafarisayo tunafunga, lakini wanafunzi wako hawafungi?”
Yesu akawajibu, “Je, wageni wa bwana arusi waweza kuomboleza wakati angali pamoja nao? Wakati utafika ambapo bwana arusi ataondolewa kwao, hapo ndipo watakapofunga.
“Hakuna mtu anayeshonea kiraka kipya kwenye nguo kuukuu, kwa maana kile kiraka kitachanika kutoka kwenye hiyo nguo na kuchanika kwa nguo hiyo kutakuwa kubaya zaidi ya hapo mwanzo.
Wala watu hawaweki divai mpya kwenye viriba vikuukuu. Kama wakifanya hivyo, viriba vitapasuka na divai itamwagika. Navyo viriba vitaharibika, lakini divai mpya huwekwa kwenye viriba vipya na hivyo divai na viriba huwa salama.”
Écritures
À propos de ce plan

Mfuatano huu ni kusanyiko la hadithi kuhusu maisha Kristo itakayoshirikisha watazamaji wote ulimwenguni kwa kutumia mchanganyiko wa kuona na sauti. Maisha na mafundisho ya Yesu yalidhihirishwa katika kitabu hiki cha hadithi ambacho kinafuata masimulizi ya Agano Jipya yanayopatikana katika vitabu vya Injili vya Mathayo, Marko, Luka, na Yohana.
More
Plans suggérés

Quatre disciplines oubliées qui transforment votre vie spirituelle

Transcender: Une marche avec Moïse (Psaumes 90)

Les 5 choses qui BRISENT le coeur du Saint-Esprit

Les portes démoniaques

Enveloppé : Une réflexion sur les promesses de Dieu au Psaume 91

Journée mondiale de prière pour les universitaires: Guide de prière de 40 jours

Une Randonnée Biblique en Montagne

Dieu veut vous parler !

Dieu Parle Aussi La Nuit
