Injili Ulimwenguni - Sehemu 3Exemple

Yesu amponya mama-mkwe wa Petro
Yesu akatoka kwenye sinagogi akaenda nyumbani kwa Simoni. Basi huko alimkuta mkwewe Simoni ana homa kali, nao wakamwomba Yesu amsaidie.
Hivyo Yesu akamwinamia na kukemea ile homa, nayo ikamwacha. Akaamka saa ile ile akaanza kuwahudumia.
Jua lilipokuwa linatua, watu wote waliokuwa na wagonjwa wenye maradhi mbalimbali wakawaleta kwa Yesu, naye akaweka mikono yake juu ya kila mgonjwa, akawaponya.wachafu pia wakawatoka watu wengi, nao walipokuwa wakitoka wakapiga kelele wakisema:
“Wewe ni Mwana wa Mungu!” Lakini Yesu akawakemea na kuwazuia wasiseme, kwa maana walimjua kuwa yeye ni Kristo.
Kesho yake, kulipopambazuka, Yesu alikwenda mahali pa faragha. Watu wengi wakawa wanamtafuta kila mahali, nao walipomwona wakajaribu kumzuia asiondoke.
Lakini yesu akawaambia, “Imenipasa kuhubiri habari njema za Ufalme wa Mungu katika miji mingine pia, kwa maana kwa kusudi hili nilitumwa.”
Écritures
À propos de ce plan

Mfuatano huu ni kusanyiko la hadithi kuhusu maisha Kristo itakayoshirikisha watazamaji wote ulimwenguni kwa kutumia mchanganyiko wa kuona na sauti. Maisha na mafundisho ya Yesu yalidhihirishwa katika kitabu hiki cha hadithi ambacho kinafuata masimulizi ya Agano Jipya yanayopatikana katika vitabu vya Injili vya Mathayo, Marko, Luka, na Yohana.
More
Plans suggérés

Quatre disciplines oubliées qui transforment votre vie spirituelle

Journée mondiale de prière pour les universitaires: Guide de prière de 40 jours

Dieu Parle Aussi La Nuit

Une Randonnée Biblique en Montagne

Les 5 choses qui BRISENT le coeur du Saint-Esprit

Enveloppé : Une réflexion sur les promesses de Dieu au Psaume 91

Transcender: Une marche avec Moïse (Psaumes 90)

Dieu veut vous parler !

Les portes démoniaques
