Injili Ulimwenguni - Sehemu 3Exemple

Yesu amponya mtu mwenye ukoma
Ikawa siku moja Yesu alipokuwa katika mji fulani, mtu mmoja mwenye ukoma mwili mzima akamjia.
Alipomwona Yesu, alianguka chini mpaka uso wake ukagusa ardhi na kumsihi akisema
"“Bwana, ukitaka waweza kunitakasa.”
"Yesu akanyosha mkono wake akamgusa yule mtu, akamwambia, “Nataka, takasika!”
"Naye mara ukoma ukapona. Yesu akamwagiza akisema, “Usimwambie mtu ye yote, bali nenda ukajionyeshe kwa kuhani na ukatoe dhabihu alizoagiza Mose ili kuwa ushuhuda kwao.”
Lakini habari zake Yesu zikazidi sana kuenea kotekote kuliko wakati mwingine wo wote, makutano makubwa ya watu yalikuwa yakikusanyika ili kumsikiliza na kuponywa magonjwa yao.
Lakini mara kwa mara Yesu alijitenga nao ili kwenda mahali pa faragha kuomba
Écritures
À propos de ce plan

Mfuatano huu ni kusanyiko la hadithi kuhusu maisha Kristo itakayoshirikisha watazamaji wote ulimwenguni kwa kutumia mchanganyiko wa kuona na sauti. Maisha na mafundisho ya Yesu yalidhihirishwa katika kitabu hiki cha hadithi ambacho kinafuata masimulizi ya Agano Jipya yanayopatikana katika vitabu vya Injili vya Mathayo, Marko, Luka, na Yohana.
More
Plans suggérés

Quatre disciplines oubliées qui transforment votre vie spirituelle

Transcender: Une marche avec Moïse (Psaumes 90)

Les 5 choses qui BRISENT le coeur du Saint-Esprit

Les portes démoniaques

Enveloppé : Une réflexion sur les promesses de Dieu au Psaume 91

Journée mondiale de prière pour les universitaires: Guide de prière de 40 jours

Une Randonnée Biblique en Montagne

Dieu veut vous parler !

Dieu Parle Aussi La Nuit
