1
Mathayo 4:4
Biblia Habari Njema
BHN
Yesu akamjibu, “Imeandikwa: ‘Mtu haishi kwa mkate tu, ila kwa kila neno asemalo Mungu.’”
مقایسه
Mathayo 4:4 را جستجو کنید
2
Mathayo 4:10
Hapo, Yesu akamwambia, “Nenda zako Shetani! Imeandikwa: ‘Utamwabudu Bwana Mungu wako na kumtumikia yeye peke yake.’”
Mathayo 4:10 را جستجو کنید
3
Mathayo 4:7
Yesu akamwambia, “Imeandikwa pia: ‘Usimjaribu Bwana, Mungu wako.’”
Mathayo 4:7 را جستجو کنید
4
Mathayo 4:1-2
Kisha Roho alimwongoza Yesu mpaka jangwani ili ajaribiwe na Ibilisi. Akafunga siku arubaini mchana na usiku, na mwishowe akaona njaa.
Mathayo 4:1-2 را جستجو کنید
5
Mathayo 4:19-20
Basi, akawaambia, “Nifuateni, nami nitawafanya nyinyi wavuvi wa watu.” Mara wakaziacha nyavu zao, wakamfuata.
Mathayo 4:19-20 را جستجو کنید
6
Mathayo 4:17
Tangu wakati huo Yesu alianza kuhubiri akisema, “Tubuni, maana ufalme wa mbinguni umekariia!”
Mathayo 4:17 را جستجو کنید