1
Mathayo 27:46
Biblia Habari Njema
BHN
Mnamo saa tisa Yesu akalia kwa sauti kubwa, “Eli, Eli, lema sabakthani?” Maana yake, “Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?”
مقایسه
Mathayo 27:46 را جستجو کنید
2
Mathayo 27:51-52
Hapo pazia la hekalu likapasuka vipande viwili, toka juu mpaka chini; nchi ikatetemeka; miamba ikapasuka; makaburi yakafunguka na watu wengi wa Mungu waliokufa wakafufuliwa
Mathayo 27:51-52 را جستجو کنید
3
Mathayo 27:50
Basi, Yesu akalia tena kwa sauti kubwa, akakata roho.
Mathayo 27:50 را جستجو کنید
4
Mathayo 27:54
Basi, jemadari na wale waliokuwa wakimlinda Yesu walipoona tetemeko la ardhi na yale mambo yaliyotukia, wakaogopa sana, wakasema, “Hakika mtu huyu alikuwa Mwana wa Mungu.”
Mathayo 27:54 را جستجو کنید
5
Mathayo 27:45
Tangu saa sita mchana mpaka saa tisa, giza likaikumba nchi yote.
Mathayo 27:45 را جستجو کنید
6
Mathayo 27:22-23
Pilato akawauliza, “Sasa, nifanye nini na Yesu aitwaye Kristo?” Wote wakasema, “Asulubiwe!” Pilato akauliza, “Kwa nini? Amefanya ubaya gani?” Wao wakazidi kupaza sauti: “Asulubiwe!”
Mathayo 27:22-23 را جستجو کنید