لوگو یوورژن
كتاب‌ مقدسبرنامه‌های مطالعهویدیوها
دانلود برنامه
انتخاب زبان
ایکن جستجو

آیات محبوب کتاب مقدس از Mwanzo 2

1

Mwanzo 2:24

Biblia Habari Njema

BHN

Ndiyo maana mwanamume humwacha baba yake na mama yake, akaambatana na mkewe, nao wawili huwa mwili mmoja.

مقایسه

Mwanzo 2:24 را جستجو کنید

2

Mwanzo 2:18

Biblia Habari Njema

BHN

Kisha Mwenyezi-Mungu akasema, “Si vizuri huyu mwanamume kuwa peke yake. Nitamfanyia msaidizi wa kumfaa.”

مقایسه

Mwanzo 2:18 را جستجو کنید

3

Mwanzo 2:7

Biblia Habari Njema

BHN

Basi, Mwenyezi-Mungu akamfanya mwanamume kwa mavumbi ya udongo, akampulizia puani pumzi ya uhai, na huyo mwanamume akawa kiumbe hai.

مقایسه

Mwanzo 2:7 را جستجو کنید

4

Mwanzo 2:23

Biblia Habari Njema

BHN

Ndipo huyo mwanamume akasema, “Naam! Huyu ni mfupa kutoka mifupa yangu, na nyama kutoka nyama yangu. Huyu ataitwa ‘Mwanamke’, kwa sababu ametolewa katika mwanamume.”

مقایسه

Mwanzo 2:23 را جستجو کنید

5

Mwanzo 2:3

Biblia Habari Njema

BHN

Mungu akaibariki siku ya saba na kuitakasa, kwa kuwa siku hiyo Mungu alipumzika baada ya kazi yake yote ya kuumba.

مقایسه

Mwanzo 2:3 را جستجو کنید

6

Mwanzo 2:25

Biblia Habari Njema

BHN

Huyo mwanamume na mkewe wote walikuwa uchi, lakini hawakuona haya.

مقایسه

Mwanzo 2:25 را جستجو کنید

باب‌ قبلی
باب بعدی
یوورژن

به چالش کشیدن و تشویق هر روزه شما برای ایجاد رابطه صمیمی تر با خدا .

خدمت

دربارهٔ

مشاغل

داوطلب شوید.

بلاگ

مطبوعات

لینک‌های مفید

پشتیبانی

اهدای کمک مالی

ترجمه‌های کتاب‌مقدس

کتاب‌ مقدس صوتی

ترجمه‌های موجود کتاب‌مقس

آیۀ روز


یک خدمت دیجیتالی از

لایف‌چرچ
فارسی

©2026 لایف چرچ / یوورژن

قوانین حفظ حریم شخصیشرايط
برنامه افشای آسیب پذیری
فیس‌بوکتویتراینستاگرامبرنامه یوتیوببرنامه پین ترست