1
Walawi 10:1
BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA
SCLDC10
Nao Nadabu na Abihu, wanawe Aroni, walichukua kila mmoja chetezo chake, wakaweka moto na ubani, wakamtolea Mwenyezi-Mungu moto najisi, ambao haukulingana na agizo lake Mwenyezi-Mungu.
مقایسه
Walawi 10:1 را جستجو کنید
2
Walawi 10:3
Hapo, Mose akamwambia Aroni, “Kwa tukio hili Mwenyezi-Mungu amekuonesha maana ya kile alichosema: ‘Nitajionesha kuwa mtakatifu miongoni mwa wale walio karibu nami; nitatukuzwa mbele ya watu wote!’” Aroni akanyamaza kimya.
Walawi 10:3 را جستجو کنید
3
Walawi 10:2
Basi, moto ukatokea mbele ya Mwenyezi-Mungu, ukawateketeza hao vijana, wakafa mbele yake.
Walawi 10:2 را جستجو کنید