YouVersion Logo
Search Icon

Marko 16:17-18

Marko 16:17-18 BHN

Na ishara hizi zitaandamana na wale wanaoamini: Kwa jina langu watatoa pepo na watasema kwa lugha mpya. Wakishika nyoka au wakinywa kitu chochote chenye sumu, hakitawadhuru. Watawawekea wagonjwa mikono, nao watapona.”

Free Reading Plans and Devotionals related to Marko 16:17-18