YouVersion Logo
Search Icon

2 Timotheo 4:8

2 Timotheo 4:8 BHN

Na sasa imebakia tu kupewa tuzo la ushindi kwa maisha ya uadilifu, tuzo ambalo Bwana, Hakimu wa haki, atanipa mimi siku ile, na wala si mimi tu, ila na wale wote wanaotazamia kwa upendo kutokea kwake.

Free Reading Plans and Devotionals related to 2 Timotheo 4:8