YouVersion Logo
Search Icon

Ezekieli 2:7-8

Ezekieli 2:7-8 BHND

Wewe utawaambia maneno yangu, hata kama watasikia au hawatasikia, maana wao ni watu waasi. “Lakini ewe mtu, sikiliza ninayokuambia, wala usiwe mwasi kama watu hao. Fumbua kinywa chako, ule ninachokupa.”

Free Reading Plans and Devotionals related to Ezekieli 2:7-8