YouVersion Logo
Search Icon

Luka 2:8-9

Luka 2:8-9 SCLDC10

Katika sehemu hizo, walikuwako wachungaji wakikesha usiku mbugani kulinda mifugo yao. Malaika wa Bwana akawatokea ghafla, na utukufu wa Bwana ukawaangazia pande zote. Wakaogopa sana.

Free Reading Plans and Devotionals related to Luka 2:8-9