YouVersion Logo
Search Icon

1 Fal 18:36

1 Fal 18:36 SCLDC10

Mnamo alasiri, wakati wa kutoa tambiko, nabii Elia aliikaribia madhabahu, akaomba, “Ee Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Abrahamu, Isaka na Yakobo, waoneshe watu leo hii kwamba wewe ndiwe Mungu wa Israeli, na kwamba mimi ni mtumishi wako na nimefanya mambo haya kwa amri yako.

Free Reading Plans and Devotionals related to 1 Fal 18:36