Wimbo wa Solomono UTANGULIZI
UTANGULIZI
Katika Kiebrania kitabu hiki kinaitwa Wimbo wa Nyimbo, ni kusema wimbo muzuri kupita zote. Wamoja wamewaza kwamba tenzi hizi ni juu ya upendo unaokuwa kati ya Mungu na watu wake au kati ya Kristo na Kanisa lake. Wengine wanawaza kwamba ni tenzi juu ya mapenzi kati ya mume na muke.
Currently Selected:
Wimbo wa Solomono UTANGULIZI: SWC02
Highlight
Copy
Compare
Share
Want to have your highlights saved across all your devices? Sign up or sign in
Bible in Swahili Congo © Bible Society of the Democratic Republic of Congo (DRC), 2002.