YouVersion Logo
Search Icon

Waroma 3:10-12

Waroma 3:10-12 SWC02

Ni sawa ilivyoandikwa katika Maandiko Matakatifu: “Hakuna hata mutu mumoja mwenye haki! Hakuna mutu mwenye ufahamu, hakuna mwenye kushugulika na Mungu. Wote wamepotea, wote kwa jumla wamepotoka. Hakuna mwenye kufanya mema, hata mumoja.