Waroma 15:5-6
Waroma 15:5-6 SWC02
Basi, Mungu anayewapa watu nguvu ya kuvumilia na kufarijika awape kuwa na nia moja mukifuata mufano wa Kristo Yesu. Hivi kusudi mutaweza kwa nia moja na kwa sauti moja kumutukuza Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo.











