YouVersion Logo
Search Icon

Ufunuo 20:12

Ufunuo 20:12 SWC02

Nikaona wale waliokufa, wakubwa na wadogo wakisimama mbele ya kile kiti cha kifalme. Vitabu vikafunguliwa na kitabu kingine kikafunguliwa ndicho kitabu cha uzima. Wale waliokufa wakahukumiwa kufuatana na matendo yao sawa vile ilivyoandikwa katika vitabu.

Free Reading Plans and Devotionals related to Ufunuo 20:12