YouVersion Logo
Search Icon

Ufunuo 19:11

Ufunuo 19:11 SWC02

Kisha nikaona mbingu imefunguka na kukatokea farasi mweupe. Yule aliyepanda juu yake anaitwa Mwaminifu na Mwenye Ukweli, kwa maana anahukumu na kupigana vita kwa haki.