Zaburi 1:1-2
Zaburi 1:1-2 SWC02
Heri mutu asiyefuata shauri la waovu, asiyeshiriki katika njia ya wenye zambi, wala kukusanyika na wenye kuzarau; lakini anafurahia sheria ya Yawe, na kuifikiri muchana na usiku.
Heri mutu asiyefuata shauri la waovu, asiyeshiriki katika njia ya wenye zambi, wala kukusanyika na wenye kuzarau; lakini anafurahia sheria ya Yawe, na kuifikiri muchana na usiku.