YouVersion Logo
Search Icon

Mezali 4:18-19

Mezali 4:18-19 SWC02

Njia ya wenye haki ni kama mwangaza wa asubui mapema, ambao unaangaza zaidi na zaidi hata muchana kamili. Lakini njia ya waovu ni kama giza nene, hawajui kinachowafanya wajikwae.