Wafilipi 2:14-15
Wafilipi 2:14-15 SWC02
Mufanye kila kitu bila manunguniko wala mabishano, kusudi mupate kuwa bila kosa na kuwa na maisha safi. Hivi mutakuwa watoto wakamilifu wa Mungu wasiokuwa na kilema kati ya watu waovu na wapotovu wa dunia hii. Munapaswa kuangaza kati ya watu hawa kama vile nyota zinavyoangaza katika mbingu





