Yoshua UTANGULIZI
UTANGULIZI
Jina la kitabu hiki linatokana na mutu mwenye heshima ambaye anahusika sana katika mambo tunayosimuliwa humu, ni kusema Yoshua. Yoshua alipewa madaraka ya kuwaongoza Waisraeli nyuma ya kifo cha Musa. Aliwaongoza Waisraeli mpaka walipoinyanganya ile inchi ambayo Mungu alikuwa ameahidi kuwapa. Kitabu hiki kinaeleza jinsi Waisraeli walivyoingia katika inchi ya Kanana, wakarizi inchi hiyo na kuigawanya. Kina sehemu hizi:
Sura 1-12: Kuteka Kanana.
Sura 13-21: Jinsi inchi inavyogawanyiwa makabila ya Israeli
Sura 22: Kurudi kwa makabila ya mashariki katika sehemu yao
Sura 23: Hotuba ya Yoshua ya kuwaaga Waisraeli
Sura 24: Kuhakikisha agano kati ya Yawe na Waisraeli
Currently Selected:
Yoshua UTANGULIZI: SWC02
Highlight
Share
Compare
Copy
Want to have your highlights saved across all your devices? Sign up or sign in
Bible in Swahili Congo © Bible Society of the Democratic Republic of Congo (DRC), 2002.