YouVersion Logo
Search Icon

Kutoka 20:9-10

Kutoka 20:9-10 SWC02

Siku sita fanya kazi na tenda mambo yako yote. Lakini siku ya saba ni Sabato ya Yawe, Mungu wako. Siku hiyo usifanye kazi yoyote, wewe, wala mwana wako, wala binti yako, wala mutumwa wako, wala mujakazi wako, wala nyama wako wa kufugwa, wala mugeni anayekuwa katika nyumba yako.

Free Reading Plans and Devotionals related to Kutoka 20:9-10