YouVersion Logo
Search Icon

Muhubiri 5:1

Muhubiri 5:1 SWC02

Fikiri mbele ya kusema, wala usikuwe mwepesi kwa kusema neno lolote mbele ya Mungu, kwa maana Mungu yuko mbinguni na wewe uko katika dunia. Kwa hiyo usiseme maneno mengi.