YouVersion Logo
Search Icon

Kumbukumbu la Sheria 1:30-31

Kumbukumbu la Sheria 1:30-31 SWC02

Yawe, Mungu wenu, ambaye anawatangulia, yeye mwenyewe atapigana kwa ajili yenu kama vile alivyofanya mbele yenu kule Misri na kule katika jangwa ambako muliona jinsi alivyowabeba safari hiyo yote kama vile baba anavyobeba mwana wake, mpaka mukafika hapa.