Danieli UTANGULIZI
UTANGULIZI
Sehemu mbili zinaonekana wazi katika kitabu hiki:
Sura 1-6. Ni juu ya mambo yaliyowapata Danieli na warafiki zake katika uhamisho wa Wayuda kule Babeli karibu na miaka mia sita mbele ya Kristo. Waliokolewa kutoka mambo mbalimbali ya taabu kwa sababu ya tegemeo lao kwa Mungu na utii wao uliolingana na imani yao.
Sura 7-12. Sehemu hii inatupatia maono mbalimbali ya Danieli ambamo tawala fulani za ulimwengu wa nyakati hizo zinahusika: Babeli, Medi, Persia na Ugriki. Maono yote yanaeleza kwa mifano na maelezo.
Currently Selected:
Danieli UTANGULIZI: SWC02
Highlight
Share
Compare
Copy
Want to have your highlights saved across all your devices? Sign up or sign in
Bible in Swahili Congo © Bible Society of the Democratic Republic of Congo (DRC), 2002.