YouVersion Logo
Search Icon

2 Mambo ya Siku 32:7-8

2 Mambo ya Siku 32:7-8 SWC02

“Muwe imara na hodari. Musiogope wala musifazaike mbele ya mufalme wa Asuria au majeshi yake maana tunayekuwa naye ni mukubwa kuliko anayekuwa na Saniharibu. Yeye ana nguvu za kibinadamu tu, lakini sisi tuna Yawe, Mungu wetu, kwa kutusaidia na kutupigania vita vyetu.” Maneno haya ya mufalme Hezekia yakawatia moyo sana watu wale.

Video for 2 Mambo ya Siku 32:7-8