YouVersion Logo
Search Icon

1 Samweli 21:12-13

1 Samweli 21:12-13 SWC02

Watumishi wa mufalme wakamwambia Akisi: “Huyu si Daudi, mufalme wa inchi ya Israeli? Si huyu ambaye walikuwa wakiimbiana juu yake katika ngoma, wakisema: ‘Saulo ameua maelfu yake na Daudi ameua elfu makumi yake?’ ” Daudi akafikiri sana juu ya maneno yale, akaanza kumwogopa sana Akisi mufalme wa Gati.

Free Reading Plans and Devotionals related to 1 Samweli 21:12-13