1 Wafalme 18:44
1 Wafalme 18:44 SWC02
Kwa mara ya saba, yule mutumishi akarudia, akasema: “Ninaona wingu dogo kama mukono wa mutu linatoka katika bahari.” Elia akamwambia: “Kwenda umwambie mufalme Ahabu atayarishe gari lake la vita, ateremuke, asipate kuzuiliwa na mvua.”





