YouVersion Logo
Search Icon

Mathayo 16:24

Mathayo 16:24 TKU

Kisha Yesu akawaambia wafuasi wake, “Ikiwa yeyote miongoni mwenu anataka kuwa mfuasi wangu, ni lazima aache kujiwazia yeye mwenyewe na mahitaji yake. Ni lazima awe radhi kuubeba msalaba aliopewa na kunifuata mimi.

Free Reading Plans and Devotionals related to Mathayo 16:24