YouVersion Logo
Search Icon

Luka 5:5-6

Luka 5:5-6 TKU

Simoni akamjibu, “Bwana, tumejitahidi usiku kucha kuvua samaki na hatukupata chochote. Lakini kwa kuwa unasema nishushe nyavu majini, nitafanya hivyo.” Walipofanya hivi, nyavu zao zilijaa samaki wengi mpaka zikaanza kuchanika.

Free Reading Plans and Devotionals related to Luka 5:5-6